Attorney General meets with the Commission of Inquiry Incidents Breaches of Peace.
The Commission of Inquiry into Incidents of Breaches of Peace during and after the October 29, 2025 General Election, has met with the Attorney General (AG), Hon. Hamza S. Johari.The meeting between the Commission and the Attorney General took place...
"The National Development Vision prioritizes Good Governance, Peace, and Security." — President Dr....
The President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan, has stated that the National Development Vision prioritizes Good Governance, Peace, Security, and Stability, noting that the Judiciary plays a pivotal role in building a...
HABARI PICHA
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Jaji George Masaju amekutana na kufanya kikao na Wajumbe wa Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo, kikao hicho kilifanyika Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania Jijini, Dodoma.Aidha, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali...
KAMATI YA USHAURI MKOA WA TANGA YASULUHISHA MGOGORO.
Kamati ya Ushauri wa Kisheria Mkoa wa Tanga imefanikiwa kusuluhisha mgogoro wa Ardhi kati ya Kampuni ya Mafuta ya Lake Oil Company Limited na Bi. Christine Malongo Muller (ambaye ni Mjane wa Marehemu Rudolf Muller)Kamati ya Ushauri Mkoa wa Tanga ikio...
“MAWAKILI MNA NAFASI KUBWA YA KUONDOA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KISHERIA KATIKA TAIFA HILI” – NAIBU M...
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M. Maneno amemuwakilisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari katika sherehe za kupokelewa na kukubaliwa Mawakili wapya wa Kujitegemea zilizofanyika tarehe 5 Desemba, 2025 Jijini Dodoma.Akiz...
WATUMISHI WAPYA NA WALIOHAMIA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI WAPIGWA MSASA
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeendesha mafunzo elekezi kwa watumishi wapya na waliohamia katika Ofisi kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Utumishi wa Umma. Mafunzo hayo yamefanyika tarehe 28 Novemba...
WATUMISHI WAPYA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI WATAKIWA KUZINGATIA MISINGI YA WELEDI NA UBORA
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M. Maneno amewataka Watumishi wapya na waliohamia katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuzingatia misingi ya Weledi na Ubora wakati wa kutekeleza majukumu yao, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali...
WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AKOSHWA NA UTENDAJI KAZI WA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera ametembelea Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kufanya mazungumzo na Menejimenti ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali tarehe 25 Novemba, 2025.Mhe. Dkt. Homera amepongeza Ofisi ya Mwana...
OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAIMARISHA UWEZO WA MAWAKILI KATIKA MIKATABA YA KIMATAIFA
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeendelea kuwaongezea Mawakili wa Serikali ujuzi katika maeneo muhimu ya kitaaluma, ikiwemo mikataba ya kimataifa ya biashara, sheria za usuluhishi wa kimataifa, pamoja na masuala ya mafuta na gesi. Hatua inayol...
HABARI PICHA
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari akiwasilisha Azimio la Bunge la kumthibitisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bungeni Jijini Dodoma, tarehe 13 Novemba, 2025.Mwanasheria Mkuu wa Serikali amewasilisha Azimio hilo mbele...
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI MHE. HAMZA S. JOHARI AAPISHWA KUWA MBUNGE
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amekula kiapo cha Uaminifu mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Musa A. Zungu, tarehe 11 Novemba, 2025. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameapishwa kuwa Mbunge katika kikao cha...
HABARI PICHA
Menejimenti ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imekutana na kufanya Kikao na ujumbe kutoka Tume ya Utumishi ya Umma(TUU), kikao hicho cha Ufunguzi wa Ukaguzi wa Uzingatiaji wa Sheria katika Usimamizi wa Utumishi wa Umma kimefanyika katika Ofisi...
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AANZA RASMI MAJUKUMU
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari, amewasili rasmi katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma na kuanza kutekeleza majukumu yake mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Sami...
“UCHAGUZI MKUU WA 2025 NI HALALI” – MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025 unaotarajiwa kufanyika tarehe 29 Oktoba, 2025 ni halali kwakuwa umefuata misingi ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheria za...
NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AFUNGUA KIKAO KAZI CHA TAASISI ZA KISHERIA
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Samwel M. Maneno, amesema serikali imejipanga kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi zake za kisheria ili kuongeza ufanisi wa utendaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa.Mhe. Maneno alitoa kauli hiyo leo wakati...
OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAIMARISHA USHIRIKIANO NA PURA
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imekusudia kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa uweledi na ubora, ikiwa ni pamoja na kuishauri Serikali juu ya namna ya kuboresha utendaji kazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), ili kuh...
PPPC KUIMARISHA UWEZO WA MAWAKILI WA SERIKALI KATIKA MIKATABA YA UBIA
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kuhakikisha mikataba ya ubia inalenga Dira ya maendeleo 2050.Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Huduma za Kishauri wa PPPC, Bi. Flora Tenga katika hiti...
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI ATOA WITO KWA MAWAKILI WA SERIKALI KUIMARISHA UTEKELEZAJI MIKATABA YA U...
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amewataka Mawakili wa Serikali kutumia vizuri mikataba ya PPPC ambayo itasaidia kufanikisha malengo ya Dira Ya Taifa 2050 katika kuboresha maisha na kuongeza kipato kwa wananchi na taifa kwa ujumla.Mh...
"Ushauri wa kisheria ulinde maslahi ya Umma — maarifa yatumike kwa vitendo"
Mkurugenzi wa Uratibu na Huduma za Ushauri wa Kisheria Bi. Neema Ringo kwa niaba ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali ametoa rai kwa Mawakili wa Serikali kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kutumia maarifa waliyopata kwa vitendo na kuhakiki...
TUME YA MADINI YAWAPIGA MSASA MAWAKILI WA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI.
Mawakili wa Serikali kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wamekutana na Tume ya Madini na kufanya mafunzo yanayolenga wajibu wa kisheria na Usimamizi wa Sekta ya Madini Tanzania ambayo yanafanyika tarehe 15 mpaka 18 Septemba 2025, Jijini Dodo...