HABARI PICHA
Menejimenti ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imekutana na kufanya Kikao na ujumbe kutoka Tume ya Utumishi ya Umma(TUU), kikao hicho cha Ufunguzi wa Ukaguzi wa Uzingatiaji wa Sheria katika Usimamizi wa Utumishi wa Umma kimefanyika katika Ofisi...
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AANZA RASMI MAJUKUMU
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari, amewasili rasmi katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma na kuanza kutekeleza majukumu yake mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Sami...
“UCHAGUZI MKUU WA 2025 NI HALALI” – MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2025 unaotarajiwa kufanyika tarehe 29 Oktoba, 2025 ni halali kwakuwa umefuata misingi ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheria za...
NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AFUNGUA KIKAO KAZI CHA TAASISI ZA KISHERIA
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Samwel M. Maneno, amesema serikali imejipanga kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi zake za kisheria ili kuongeza ufanisi wa utendaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa.Mhe. Maneno alitoa kauli hiyo leo wakati...
OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAIMARISHA USHIRIKIANO NA PURA
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imekusudia kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa uweledi na ubora, ikiwa ni pamoja na kuishauri Serikali juu ya namna ya kuboresha utendaji kazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), ili kuh...
PPPC KUIMARISHA UWEZO WA MAWAKILI WA SERIKALI KATIKA MIKATABA YA UBIA
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kuhakikisha mikataba ya ubia inalenga Dira ya maendeleo 2050.Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Huduma za Kishauri wa PPPC, Bi. Flora Tenga katika hiti...
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI ATOA WITO KWA MAWAKILI WA SERIKALI KUIMARISHA UTEKELEZAJI MIKATABA YA U...
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amewataka Mawakili wa Serikali kutumia vizuri mikataba ya PPPC ambayo itasaidia kufanikisha malengo ya Dira Ya Taifa 2050 katika kuboresha maisha na kuongeza kipato kwa wananchi na taifa kwa ujumla.Mh...
"Ushauri wa kisheria ulinde maslahi ya Umma — maarifa yatumike kwa vitendo"
Mkurugenzi wa Uratibu na Huduma za Ushauri wa Kisheria Bi. Neema Ringo kwa niaba ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali ametoa rai kwa Mawakili wa Serikali kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kutumia maarifa waliyopata kwa vitendo na kuhakiki...
TUME YA MADINI YAWAPIGA MSASA MAWAKILI WA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI.
Mawakili wa Serikali kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wamekutana na Tume ya Madini na kufanya mafunzo yanayolenga wajibu wa kisheria na Usimamizi wa Sekta ya Madini Tanzania ambayo yanafanyika tarehe 15 mpaka 18 Septemba 2025, Jijini Dodo...
OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YASHIRIKI MKUTANO WA 63 WA AALCO
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeiwakilisha Tanzania kushiriki Mkutano wa 63 wa Shirika la Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za Asia na Afrika (AALCO) uliofanyika tarehe 8 hadi 12 Septemba, 2025 Jijini Kampala Uganda.Nchi wanachama wa Shirika...
OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAWATAKA WAHARIRI KUENDELEA KUZINGATIA MAADILI NA KATIKA KUCHA...
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imewataka Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini kuzingatia maadili na kutumia kalamu zao kwa uadilifu katika kuhabarisha umma, kwa kuangazia umuhimu wa kulinda amani na usalama wa taifa wanapotekeleza majukumu yao...
“SISI OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI TUNAAMINI NYINYI WAHARIRI NI ASKARI WA KALAMU” - NAIBU M...
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M. Maneno amesema kuwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ina amini kuwa Wahariri wa Vyombo vya Habari ni Askari wa Kalamu kwakuwa wanauwezo wa kuelimisha, kulinda na kusimamia masuala mbalimbali yana...
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AWATAKA WANASHERIA KUONGEZA UMAKINI KATIKA KUTOA USHAURI WA SHERIA ZA M...
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amewataka Wanasheria kuwa walinzi na kuongeza umakini katika kutoa ushauri wa sheria zinazohusu mazingira kwa maslahi ya taifa.Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo tarehe 3 Septemba, 2025 wakat...