Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb) katikati, akiwa katika picha ya pamoja na Wawakilishi wa Wizara ya Katiba na Sheria na Taasisi zake Katika Hafla ya Makabidhiano ya Vifaa vya TEHAMA iliofanyika katika Ofisi ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jijini Dodoma.