Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari (katikati walioketi), Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M, Maneno (wa tatu kutoka kushoto walioketi) na Mwandishi wa Mkuu wa Sheria Bw. Onorius Njole (wa pili kutoka kushoto walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na Wawakilishi wa Divisheni na Vitengo vya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakati Kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kilichofanyika tarehe 18 Agosti, 2025 Jijini Dodoma.