Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (kulia) akiteta jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari (kushoto) wakati wa Mkutano wa Kumi na Tisa , Kikao cha Arobaini cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bungeni Jijini Dodoma tarehe 5 Juni, 2025.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari akiwasilisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho wa Mbalimbali wa Mwaka 2025 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Bill, 2025), tarehe 5 Juni, 2025 Bungeni Jijini Dodoma.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali akipitia nyaraka mbalimbali wakati alipohudhuria Mkutano wa Kumi na Tisa , Kikao cha Arobaini cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloendelea Bungeni, Jijini Dodoma tarehe 5 Juni, 2025
Kutoa huduma za kisheria zenye ubora kwa njia ya kuandaa Sheria, Upekuzi na Majadiliano ya Mikataba pamoja na Ushauri wa Kisheria kwa Maendeleo ya Kijamii, Kiuchumi na Kisiasa
Dira
Kuwa Taasisi yenye ufanisi, kitaaluma na kuaminika katika kutoa huduma bora zakisheria kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania