Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan (wa pili kutoka kushoto), akiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) (wa pili kulia), Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma (kushoto) na Mwakilishi wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Joseph Kizito Mhagama (Mb) (kulia) mara baada ya kukabidhi nakala za Sheria zilizofanyiwa Urekebu, Ikulu Chamwino, Jijini Dodoma tarehe 23, Aprili, 2025.