Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Wawezeshaji wa Mada na Mawakili wa Serikali wanaoshiriki mafunzo kwa Mawakili hao yanayofanyika Jijini Arusha, mafunzo hayo ya siku 5 yalianza tarehe 24 na yanaenda hadi tarehe 28 Machi, 2025.