Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Jaji George M. Masaju (katikati walioketi), Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Samwel M. Maneno (wa pili kulia waliosimama) wakiwa katika picha ya pamoja na Majaji na Viongozi wa Taasisi za Kisheria wakati wa Sherehe za kupokelewa na kukubaliwa kwa Mawakili wa Kujitegemea zilizofanyika, Jijini Dodoma.