Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia, Majaji, wageni waalikwa pamoja na wananchi kwenye Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini, yaliyofanyika Kitaifa katika Viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma, tarehe 03 Februari, 2025.