Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe Hamza S. Johari (kulia) akiteta jambo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (kushoto) pamoja na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini (katikati) wakati wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kilichofanyika tarehe 14 Januari, 2025 Bungeni, Jijini Dodoma.