Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali yatunukiwa Cheti cha heshima

Imewekwa: 24 Jul, 2024
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali yatunukiwa Cheti cha heshima

HABARI PICHA 

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali yatunukiwa Cheti cha heshima kwa mchango wake katika kufanikisha Kikao cha 77 cha Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu.