Kikao cha kuwakaribisha Watumishi wapya waliohamia hivi karibuni na kuajiriwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Imewekwa: 20 Jun, 2024
Kikao cha kuwakaribisha  Watumishi wapya waliohamia hivi karibuni na kuajiriwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali

HABARI PICHA 

Mwanasheria Mkuu wa Serikali  Mhe. Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi amefanya kikao cha kuwakaribisha  Watumishi wapya waliohamia hivi karibuni na kuajiriwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kikao hicho kimefanyika tarehe 19 Juni 2024, Jijini Dodoma