Kikao cha kuwakaribisha Watumishi wapya waliohamia hivi karibuni na kuajiriwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
                            
                                 
                                Imewekwa: 
                                20 Jun, 2024
                            
                        
                    
                        HABARI PICHA
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi amefanya kikao cha kuwakaribisha Watumishi wapya waliohamia hivi karibuni na kuajiriwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kikao hicho kimefanyika tarehe 19 Juni 2024, Jijini Dodoma

