HABARI PICHA 

Imewekwa: 17 Apr, 2025
HABARI PICHA 

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari amekutana na Ujumbe kutoka Benki ya  TCB plc uliomtembelea kwa lengo la kujitambulisha na kueleza huduma zinazotolewa na benki hiyo,  tarehe 16 Aprili, 2025 Ofisini kwake  Bungeni Jijini Dodoma.

Ujumbe huo umeongozwa na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria, Bw. Dotto Kahabi ambaye aliambatana na Meneja Mkuu wa Huduma za Sheria, Bi. Marydensia Katemana, Meneja wa Tawi la Capital Dodoma,  Bi. Asia Mwangonela pamoja na Meneja wa Mahusiano - Taasisi, Bi. Elisipher Mollel