Chama cha Mawakili wa Serikali chapata viongozi wapya wa Mwaka 2024
                            
                                 
                                Imewekwa: 
                                23 Mar, 2024
                            
                        
                    
                        Katika Mkutano wake wa Mwaka 2024, Chama cha Mawakili wa Serikali kilifanya uchaguzi wa viongozi kwa mara ya Kwanza tangu kuzinduliwa kwa Chama hicho mwaka 2022

