Chama cha Mawakili wa Serikali chapata viongozi wapya wa Mwaka 2024

Imewekwa: 23 Mar, 2024
Chama cha Mawakili wa Serikali chapata viongozi wapya wa Mwaka 2024

Katika Mkutano wake wa Mwaka 2024, Chama cha Mawakili wa Serikali kilifanya uchaguzi wa viongozi kwa mara ya Kwanza tangu kuzinduliwa kwa Chama hicho mwaka 2022